Zaburi 36:7
Zaburi 36:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Jinsi gani zilivyo bora fadhili zako! Wanadamu hukimbilia kivulini mwa mabawa yako.
Shirikisha
Soma Zaburi 36Zaburi 36:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.
Shirikisha
Soma Zaburi 36