Zaburi 145:8-9
Zaburi 145:8-9 Biblia Habari Njema (BHN)
Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili. Mwenyezi-Mungu ni mwema kwa wote, ni mwenye huruma kwa viumbe vyake vyote.
Shirikisha
Soma Zaburi 145Zaburi 145:8-9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
BWANA ni mwenye fadhili na huruma, Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.
Shirikisha
Soma Zaburi 145