Zaburi 127:2
Zaburi 127:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mnajisumbua bure kuamka mapema asubuhi na kuchelewa kwenda kupumzika jioni, mjipatie chakula kwa jasho lenu. Mungu huwaruzuku walio wake hata walalapo.
Shirikisha
Soma Zaburi 127Zaburi 127:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.
Shirikisha
Soma Zaburi 127