Zaburi 126:3-4
Zaburi 126:3-4 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
BWANA alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi. Ee BWANA, uwarejeze watu wetu waliofungwa, Kama vijito vya Kusini.
Shirikisha
Soma Zaburi 126Zaburi 126:3-4 Biblia Habari Njema (BHN)
Kweli Mwenyezi-Mungu alitutendea mambo makubwa, tulifurahi kwelikweli! Ee Mwenyezi-Mungu, urekebishe tena hali yetu, kama mvua inavyotiririsha maji katika mabonde makavu.
Shirikisha
Soma Zaburi 126