Zaburi 10:4
Zaburi 10:4 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Hatapatiliza. Jumla ya mawazo yake ni, Hakuna Mungu
Shirikisha
Soma Zaburi 10Zaburi 10:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Katika majivuno yake husema: “Mungu hatagundua.” Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”
Shirikisha
Soma Zaburi 10