Hesabu 23:23
Hesabu 23:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Hakika ulozi hauwezi kuwapinga watu wa Yakobo, wala uchawi dhidi ya watu wa Israeli. Sasa kuhusu Israeli, watu watasema, ‘Tazameni maajabu aliyotenda Mungu!’
Shirikisha
Soma Hesabu 23Hesabu 23:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Shirikisha
Soma Hesabu 23