Marko 9:1
Marko 9:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu akaendelea kuwaambia, “Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa enzi.”
Shirikisha
Soma Marko 9Marko 9:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawaambia, Amin, nawaambia, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapouona ufalme wa Mungu umekuja kwa nguvu.
Shirikisha
Soma Marko 9