Marko 4:20
Marko 4:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini wengine ni kama zile mbegu zilizopandwa katika udongo mzuri. Hawa hulisikia hilo neno, wakalipokea, wakazaa matunda: Wengine thelathini, wengine sitini na wengine mia.”
Shirikisha
Soma Marko 4Marko 4:20 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na hawa ndio waliopandwa penye udongo ulio mzuri; ni watu walisikiao lile neno na kulipokea, na kuzaa matunda, mmoja thelathini, mmoja sitini, na mmoja mia.
Shirikisha
Soma Marko 4