Marko 15:39
Marko 15:39 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Shirikisha
Soma Marko 15Marko 15:39 Biblia Habari Njema (BHN)
Jemadari mmoja aliyekuwa amesimama mbele yake alipoona kwamba Yesu alikata roho namna hiyo, akasema, “Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
Shirikisha
Soma Marko 15