Marko 14:10
Marko 14:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.
Shirikisha
Soma Marko 14Marko 14:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yuda Iskarioti, yule mmoja katika wale Kumi na Wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani, apate kumsaliti kwao.
Shirikisha
Soma Marko 14