Mathayo 20:34
Mathayo 20:34 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.
Shirikisha
Soma Mathayo 20Mathayo 20:34 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.
Shirikisha
Soma Mathayo 20