Malaki 1:11
Malaki 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Watu wa mataifa kote duniani, toka mawio ya jua hadi machweo yake, wanalitukuza jina langu. Kila mahali wananifukizia ubani na kunitolea tambiko zinazokubalika; maana jina langu linatukuzwa miongoni mwao.
Shirikisha
Soma Malaki 1Malaki 1:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana tokea maawio ya jua hata machweo yake jina langu ni kuu katika mataifa; na katika kila mahali unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa jina langu; maana jina langu ni kuu katika mataifa, asema BWANA wa majeshi.
Shirikisha
Soma Malaki 1Malaki 1:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kwa maana tokea maawio ya jua hata machweo yake jina langu ni kuu katika Mataifa; na katika kila mahali unatolewa uvumba na dhabihu safi kwa jina langu; maana jina langu ni kuu katika Mataifa, asema BWANA wa majeshi.
Shirikisha
Soma Malaki 1