Luka 8:16
Luka 8:16 Biblia Habari Njema (BHN)
“Watu hawawashi taa na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni. Lakini huiweka juu ya kinara ili watu wanapoingia ndani wapate kuona mwanga.
Shirikisha
Soma Luka 8Luka 8:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hakuna mtu ambaye akiisha washa taa huifunika kwa mtungi, au kuiweka mvunguni, bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuona nuru yake.
Shirikisha
Soma Luka 8