Luka 23:56
Luka 23:56 Biblia Habari Njema (BHN)
Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu. Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.
Shirikisha
Soma Luka 23Luka 23:56 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakarudi, wakatayarisha manukato na marhamu. Na siku ya sabato walistarehe kama ilivyoamriwa.
Shirikisha
Soma Luka 23