Luka 20:17
Luka 20:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Maandiko haya Matakatifu yana maana gani, basi? ‘Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!’
Shirikisha
Soma Luka 20Luka 20:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Akawakazia macho akasema, Maana yake nini basi neno hili lililoandikwa, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni?
Shirikisha
Soma Luka 20