Luka 2:21
Luka 2:21 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
Shirikisha
Soma Luka 2Luka 2:21 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
Shirikisha
Soma Luka 2