Luka 18:22
Luka 18:22 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Yesu aliposikia hayo alimwambia, Umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawanyie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha, njoo unifuate.
Shirikisha
Soma Luka 18Luka 18:22 Biblia Habari Njema (BHN)
Yesu aliposikia hayo, akamwambia, “Unatakiwa bado kufanya kitu kimoja: Uza kila kitu ulicho nacho, wagawie maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina yako mbinguni; halafu njoo unifuate.”
Shirikisha
Soma Luka 18