Luka 14:26
Luka 14:26 Biblia Habari Njema (BHN)
“Mtu yeyote akija kwangu, asipomchukia baba yake, mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Shirikisha
Soma Luka 14Luka 14:26 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Shirikisha
Soma Luka 14