Yohane 14:13-14
Yohane 14:13-14 Biblia Habari Njema (BHN)
Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.
Shirikisha
Soma Yohane 14Yohane 14:13-14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lolote kwa jina langu, nitalifanya.
Shirikisha
Soma Yohane 14