Yeremia 42:6
Yeremia 42:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Iwe ni jambo la kupendeza au la, sisi tutaitii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu ambaye tunakutuma kwake ili tufanikiwe tutakapomtii Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu.”
Shirikisha
Soma Yeremia 42Yeremia 42:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Likiwa jema, au likiwa baya, sisi tutaitii sauti ya BWANA, Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake; ipate kuwa faida yetu, tunapoitii sauti ya BWANA, Mungu wetu.
Shirikisha
Soma Yeremia 42