Yakobo 3:8
Yakobo 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini hakuna mtu aliyefaulu kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.
Shirikisha
Soma Yakobo 3Yakobo 3:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
Shirikisha
Soma Yakobo 3