Yakobo 3:17
Yakobo 3:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki.
Shirikisha
Soma Yakobo 3Yakobo 3:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.
Shirikisha
Soma Yakobo 3