Isaya 52:14
Isaya 52:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kama vile wengi walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu ye yote, na umbo lake zaidi ya wanadamu)
Shirikisha
Soma Isaya 52Isaya 52:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Wengi waliomwona walishtuka, kwa vile sura yake ilikuwa imeharibiwa; hakuwa tena na umbo la kibinadamu!
Shirikisha
Soma Isaya 52