Isaya 11:1-2
Isaya 11:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Kutatokea chipukizi katika kisiki cha Yese, tawi litachipua mizizini mwake. Roho ya Mwenyezi-Mungu itakaa kwake, roho ya hekima na maarifa, roho ya shauri jema na nguvu, roho ya ujuzi na ya kumcha Mwenyezi-Mungu.
Shirikisha
Soma Isaya 11Isaya 11:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na Roho ya BWANA itakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha BWANA
Shirikisha
Soma Isaya 11Isaya 11:1-2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda. Na roho ya BWANA atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha BWANA
Shirikisha
Soma Isaya 11