Waebrania 12:28-29
Waebrania 12:28-29 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na shukrani, na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna inayompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji, kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”
Shirikisha
Soma Waebrania 12Waebrania 12:28-29 Biblia Habari Njema (BHN)
Sisi basi, na tushukuru, kwani tunapokea ufalme usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu; maana Mungu wetu kweli ni moto mkali unaoteketeza.
Shirikisha
Soma Waebrania 12