Mwanzo 39:12
Mwanzo 39:12 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.
Shirikisha
Soma Mwanzo 39Mwanzo 39:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, mke wa Potifa alimshika joho lake na kumwambia, “Lala na mimi!” Lakini Yosefu akamwachia vazi lake mikononi mwake, akakimbilia nje.
Shirikisha
Soma Mwanzo 39