Wagalatia 1:8
Wagalatia 1:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiria ninyi Injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiria, na alaaniwe.
Shirikisha
Soma Wagalatia 1Wagalatia 1:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni injili tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
Shirikisha
Soma Wagalatia 1