Wagalatia 1:10
Wagalatia 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Sasa nataka kibali cha nani: Cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
Shirikisha
Soma Wagalatia 1Wagalatia 1:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo.
Shirikisha
Soma Wagalatia 1Wagalatia 1:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana, sasa je! Ni wanadamu ninaowashawishi, au Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa hata sasa nawapendeza wanadamu, singekuwa mtumwa wa Kristo.
Shirikisha
Soma Wagalatia 1