Ezekieli 14:6
Ezekieli 14:6 Biblia Habari Njema (BHN)
“Basi, waambie Waisraeli kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Tubuni, na kuacha kuziabudu sanamu zenu za miungu. Acheni kufanya machukizo.
Shirikisha
Soma Ezekieli 14Ezekieli 14:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu hiyo uwaambie nyumba ya Israeli, Bwana MUNGU asema hivi; Rudini ninyi, mkageuke na kuviacha vinyago vyenu; mkageuze nyuso zenu zisielekee machukizo yenu yote.
Shirikisha
Soma Ezekieli 14