Mhubiri 5:1
Mhubiri 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Uwe mwangalifu uendapo katika nyumba ya Mungu, na kukaribia ili kusikiliza kwa makini kuliko kutambika kama watambikavyo wapumbavu, watu wasiopambanua kati ya jema na ovu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Jitunze mguu wako uendapo nyumbani kwa Mungu; Maana ni heri kukaribia ili usikie, Kuliko kutoa kafara ya wapumbavu; Ambao hawajui kuwa wafanya mabaya.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5