Mhubiri 3:17
Mhubiri 3:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, nikasema moyoni mwangu, “Haidhuru! Mungu atawahukumu waadilifu, hali kadhalika na waovu, maana amepanga wakati maalumu kwa kila jambo na kwa kila kazi.”
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio haki; kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3