2 Samueli 24:25
2 Samueli 24:25 Biblia Habari Njema (BHN)
Kisha Daudi akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu mahali hapo na kumtolea sadaka za kuteketezwa na za amani. Basi, Mwenyezi-Mungu akayakubali maombi kwa ajili ya nchi, na ile tauni iliyowakumba Waisraeli ikakoma.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 242 Samueli 24:25 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naye Daudi akamjengea BWANA madhabahu huko, akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Basi BWANA aliiridhia nchi, na tauni ikazuiliwa katika Israeli.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 24