2 Samueli 16:23
2 Samueli 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Siku hizo, shauri lolote alilotoa Ahithofeli lilikuwa kama limetolewa na Mungu. Na shauri alilotoa Ahithofeli liliheshimiwa na Daudi na Absalomu.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 162 Samueli 16:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na ushauri wake Ahithofeli, aliokuwa akiutoa siku zile, ulikuwa kama mtu aulizapo kwa neno la Mungu; ndivyo yalivyokuwa mashauri yote ya Ahithofeli, kwa Daudi, na kwa Absalomu.
Shirikisha
Soma 2 Samueli 16