2 Wakorintho 5:19
2 Wakorintho 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndiyo kusema: Mungu, amekuwa akiupatanisha ulimwengu naye kwa njia ya Kristo, bila kutia maanani dhambi zao binadamu. Yeye ametupa ujumbe kuhusu kuwapatanisha watu naye.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 52 Wakorintho 5:19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 5