2 Wakorintho 11:2
2 Wakorintho 11:2 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa naliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 112 Wakorintho 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Ninawaoneeni wivu lakini ni wivu wa Mungu; maana nyinyi ni kama bikira safi niliyemposa kwa mwanamume mmoja tu ambaye ndiye Kristo.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 11