1 Wathesalonike 4:14
1 Wathesalonike 4:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 41 Wathesalonike 4:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 4