1 Wakorintho 2:4-5
1 Wakorintho 2:4-5 Biblia Habari Njema (BHN)
Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho. Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 21 Wakorintho 2:4-5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu, ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 21 Wakorintho 2:4-5 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu, ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 2