1 Wakorintho 2:10
1 Wakorintho 2:10 Biblia Habari Njema (BHN)
Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 21 Wakorintho 2:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 2