1 Wakorintho 15:32
1 Wakorintho 15:32 Biblia Habari Njema (BHN)
Kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa Efeso kungalinifaa kitu gani? Kama wafu hawafufuki, basi, “Tule na tunywe, maana kesho tutakufa.”
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 151 Wakorintho 15:32 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 15