1 Wakorintho 10:6
1 Wakorintho 10:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 101 Wakorintho 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 10