Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 119:126-128

Zaburi 119:126-128 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu, sasa ni wakati wa kufanya kitu, kwa maana watu wanavunja sheria yako. Mimi, nazipenda amri zako, kuliko hata dhahabu safi kabisa. Kwa hiyo, nafuata kanuni zako zote; kila njia potovu naichukia.

Soma Zaburi 119