Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 1:2-3

Zaburi 1:2-3 BHN

bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku. Huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito, unaozaa matunda kwa wakati wake, na majani yake hayanyauki. Kila afanyalo hufanikiwa.

Soma Zaburi 1