Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 1:2-3

Zaburi 1:2-3 BHN

bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku. Huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito, unaozaa matunda kwa wakati wake, na majani yake hayanyauki. Kila afanyalo hufanikiwa.

Soma Zaburi 1

Picha ya aya ya Zaburi 1:2-3

Zaburi 1:2-3 - bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu,
na kuitafakari mchana na usiku.
Huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito,
unaozaa matunda kwa wakati wake,
na majani yake hayanyauki.
Kila afanyalo hufanikiwa.