Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 7:4-5

Mathayo 7:4-5 BHN

Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako? Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 7:4-5