Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 16:23-24

Luka 16:23-24 BHN

Huyo tajiri, akiwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona Abrahamu kwa mbali na Lazaro karibu naye. Basi, akaita kwa sauti: ‘Babu Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.’

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 16:23-24