Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 1:31-33

Luka 1:31-33 BHN

Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu. Yeye atakuwa mkubwa na ataitwa Mwana wa Mungu Mkuu. Bwana Mungu atampa kiti cha mfalme Daudi, babu yake. Kwa hivyo atautawala ukoo wa Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 1:31-33