Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 7:18

Walawi 7:18 BHN

Tena nyama yoyote ya sadaka ya amani ikiliwa siku ya tatu, haitakubaliwa, wala haitapokelewa kwa faida yake mtu aliyeitoa. Nyama hiyo ni chukizo na mtu atakayeila atawajibika kwa uovu wake.

Soma Walawi 7

Video for Walawi 7:18