Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Walawi 19:13-14

Walawi 19:13-14 BHN

“Usimdhulumu jirani yako wala kumwibia. Mshahara wa mtu aliyeajiriwa usikae kwako usiku kucha hadi asubuhi. Usimlaani kiziwi wala kuweka kizuizi mbele ya kipofu, bali umche Mungu wako. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Soma Walawi 19

Video for Walawi 19:13-14