Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoshua 5:13

Yoshua 5:13 BHN

Siku moja Yoshua alipokuwa karibu na mji wa Yeriko, ghafla aliona mtu mmoja amesimama mbele yake na upanga uliofutwa mkononi mwake. Yoshua akamwendea, akamwuliza, “Je, wewe ni wetu au ni wa adui zetu?”

Soma Yoshua 5