Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waamuzi 6:11

Waamuzi 6:11 BHN

Malaika wa Mwenyezi-Mungu akaenda, akaketi chini ya mwaloni wa Yoashi, Mwabiezeri, huko Ofra. Gideoni mwana wa Yoashi, alikuwa anapura ngano ndani ya shinikizo la kusindikia zabibu ili Wamidiani wasimwone.

Soma Waamuzi 6