Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 40:1-2

Isaya 40:1-2 BHN

Mungu wenu asema: “Wafarijini watu wangu, nendeni mkawafariji. Semeni na wenyeji wa Yerusalemu kwa upole, waambieni kwamba utumwa wao umekwisha, wamesamehewa uovu wao. Mwenyezi-Mungu amewaadhibu maradufu kwa sababu ya dhambi zao zote.”

Soma Isaya 40